messi ashikwa na tumbo la ajabu




Kutoka kule argentina inasemekana kaka messi anasumbuliwa na tatizo la kutapika ovyo akiwa uwanjani, mchezo hasa anapokuwa timu ya taifa ka kile kinachosemakana kuwa wapenzi wa soka nchini humo wanategemea makubwa kutoka kwa gwiji huyo wa soka ambaye mpaka sasa ana mafanikio madogo sana kwenye timu yake ya taifa ukilinganisha na mafanikio yake ya Barcelona na mafamikoa yake binafsi, kija huyo aliyeondoka argentina akiwa na umri wa miaka 13 juzi alitapika uwanjani dakina 15 tu baada ya kuifungia tmu yake taifa goal la pili,

messi amesema kuwa katika kipindi cha hivi karibuni amekuwa akisikia kichefichefu sana na wakati mwingine amekuwa akijisikia kutapika lakini hali hiyo inaisha baada ya muda mfupi, ameendelea kusema kwamba atajitolea kwa uwezo wake mkubwa na atafanya kila awezalo kuipa taji kubwa timu yake ya taifa, ila wataalamu wa afya wamedai kuwa kitendo hicho hakitaathiri suala lake la uchezaji, ametapika mara tatu akiwa na timu yake ya taifa, hivyo hivyo kuna taarifa kuwa mchezaji bora wa mwaka wa afrika na timu ya taifa ya ivory coast yahya toure yupo fiti kwa maichuano ya kombe la dunia, 
mchezaji huyo aliyekosa mechi mbili za maandalizi na timu yake ya taifa dhidi ya bosnia ametoka kuafanyiwa upasuaji Qatar alipoenda kufanyiwa matibabu baada ya kuisaidia timu ya Manchester city kutwaa ubingwa wa pili kwa kipindi cha misimu mitatu.ameonekana akifanya mazoezi na wachezaji wenzake hivi leo na atakuwa tayari kwenye mchezo wao wa kwanza dhidi ya japan
By priva abiud @ udom

No comments

Powered by Blogger.