yaliyojiri sokoni ulaya
KWA UFUPI
leo sokoni
alberto kujiunga na liverpool hivi punde,

arsenal bado wanamatumaina na morata baada ya carlo ancelloti kusema hana mpango nae na atafute pakwenda
hully city imethibitisha kwamba tayari wameshakubaliana na nottingham forest suala la mshambualiaj matty fraty anaejiunga na hully city bure
joe cole anakamilisha vipimo vya afya klabuni aston villa akitokea west ham

fiorentina wameshakamlisha usajili wa kipa kutoka romania ciprian tatarusanu bureee
stephen darb ameongeza mkataba na bardford kwa miaka 3
QPR na Arsenal vitani juu ya baloteli

fellain kuondoka manchester united kwa bei yoyote ya hasara
lamela haondoki kwenda juventus meneja wa spurs amekanusha
kipa cris dunn kujiunga na cambridge united
Eden Hazard amekanusha madai ya kujiunga na PSG na maeongeza kuwa atajitolea kwa moyo wake wote kupigania chelsea mbelgiji huyo mwenye umri wa miaka 23 na hana mpango wa kuondoka kwa mashuja hao wa uingereza mangharibi.
barcelona kuzima ndoto za man united kumnasa marco reus kutoka borussia dotmund

fernando amejiunga na man cty kwa ada ya paund 12,
manchester united ipo tayari kumchukua kiungo mkabaji wa Buyern Munich ikiwa ni mazungumzo baina ya uongozi wa timu hyo na Van Gaal ambaye tayari ameshamfungulia Mata milango ya kuondoka.
osvaldo wa southmpton kukimbila juventus
raphael benitez ameamua kumkumbuka mwane mlevi jarmine penant, na yupo mbioni kujiunga na napoli
by priva Abiud@udom
leo sokoni
alberto kujiunga na liverpool hivi punde,
arsenal bado wanamatumaina na morata baada ya carlo ancelloti kusema hana mpango nae na atafute pakwenda
hully city imethibitisha kwamba tayari wameshakubaliana na nottingham forest suala la mshambualiaj matty fraty anaejiunga na hully city bure
joe cole anakamilisha vipimo vya afya klabuni aston villa akitokea west ham
fiorentina wameshakamlisha usajili wa kipa kutoka romania ciprian tatarusanu bureee
stephen darb ameongeza mkataba na bardford kwa miaka 3
QPR na Arsenal vitani juu ya baloteli
fellain kuondoka manchester united kwa bei yoyote ya hasara
lamela haondoki kwenda juventus meneja wa spurs amekanusha
kipa cris dunn kujiunga na cambridge united
Eden Hazard amekanusha madai ya kujiunga na PSG na maeongeza kuwa atajitolea kwa moyo wake wote kupigania chelsea mbelgiji huyo mwenye umri wa miaka 23 na hana mpango wa kuondoka kwa mashuja hao wa uingereza mangharibi.

barcelona kuzima ndoto za man united kumnasa marco reus kutoka borussia dotmund
fernando amejiunga na man cty kwa ada ya paund 12,
manchester united ipo tayari kumchukua kiungo mkabaji wa Buyern Munich ikiwa ni mazungumzo baina ya uongozi wa timu hyo na Van Gaal ambaye tayari ameshamfungulia Mata milango ya kuondoka.
osvaldo wa southmpton kukimbila juventus
by priva Abiud
Leave a Comment