BENZEMA TAYARI KUTUA ARSENAL






ARSENAL YAKUBALI KUMNUNUA BENZEMA KWA ADA YA PAUNDI 48
 LONDON, Na Priva Abiud

kwa taarifa zilizopo kutoka kwa Rodney Marsh wa daily mirror amethibitisha kuwa tayari arsenal imekwisha kukamilisha usajili wa karim benzema mwenye miaka 27 kutoka klabu ya Real Madrid. chanzo kimoja cha habari kutoka uhispania kimethibitisha taarifa hizo asubuhi mapema leo hii. hizi zitakuwa taarifa nzuri kwa ndugu zangu wa london ikiwa ni baada tu ndugu zao wa darajani kunasa saini ya kiungo wa kihispania pedro rodriguez aliyetua chelsea akitokea Barcelona kwa ada ya paundi 21.


hata hivyo mshambuliaji wa zamani wa everton bwana Andy Gray ameiambiwa TALKSPORT kuwa tayari beki kisiki wa everton John stones amekubali ofa nono kutoka kwa Roman Abramovic kujiunga blues ili kuziba kwa beki wake mahiri Ndg John Terry ambaye inaelekea kutokuwa na mhusiano mazuri klabuni hapo pamoja na kocha wake bwana Jose Mourinho.



No comments

Powered by Blogger.