DE GEA KUTUA MADRID, AMLAUMU VAN GAAL... BALE AGOMEWA, HISTORIA MBOVU YA VAN GAAL
WAKATI SAKATA LA MATOKEO MABOVU YAKIENDELEA EPL BADO DAVID DE GEA SAKATA LAKE LAZIDI KUPAMBA MOTO
manchester
Na Priva Abiud
DE GEA AKIWA JUKWAAN WAKATI AKIMTAZAMA ROMERO AKIVAA GLOVES ZAKE |
HISTORIA YA VAN GAAL JUU YA MAKIPA NO 1.
Barcelona 1997-2000
pia kunako mwaka 2000 alipojiunga Barcelona alimkuta Golikipa wa kireno Vitor Baia akiwa majeruhi ila aliporudi kutoka kwenye majeraha yale ya goti van gaal alimtumia zaidi mholanzi Ruud Hesp na Baia aliuzwa Porto.Barcelona 2002-03
AZ Alkmaar 2005-07
Henk Timmer alikuwa golikipa namba moja wa klabu hii, lakini alipokuja Van Gaal, Romero alifanywa kuwa kipa namba moja.Bayern Munich 2009-11
Van Gaal alimweka Michael Rensing kuziba pengo za golikipa mzoefu Hans-Jorg Butt.baada butt alitupwa tena na anafasi yake kuchukuliwa na Thomas Kraft. baadae van gaal alifukuzwaklabun hapo baada ya kugoma kutoa ushirikiano katika usajili wa golikipa wa Schalke Neuer.
![]() | |
KWA REKODI HII MBOVU YA VAN GAAL DE GEA KWAHERI |
Leave a Comment