BASTIAN ATUMA SALAMU, MOYES AZIDI KUTETA, GUARDIOLA VITAN TENA
Wakala wa Yahaya Toure amjia juu Pep Gaurdiola. Aiomba Man city kuingilia kati suala hilo
nho
Conte akiri kuwa wana hali ngumu msimu huu baada ya kichapo cha magoli matatu kutoka kwa arsenal.
West ham wasubiri maajabu kutoka kwa Dimitri Payet. Wategemea mipira ya adhabu kuwakomboa
David moyes alazimika kuwaomba wachezaji wake kujitoa kwa moyo wao wote.
Brendan Rodgers asema hakuwa na shida na sterling
Guardiola kitanzini kupambana na tottenham.. huu ni mtihani wa pili kwake baada ya kuifumua Man utd 2 1 uwanjan old trafford
Buyern Munichen yamnyatia Jurgen klopp kuchukua nafasi ya ancellot
Koc
ha wa Watford ampigia chapuo mshambuliaji wake Deeney kuitwa timu ya taifa ya England
Alan Pardew afurahia kiwango cha klabu yake.
Bastian atuma salamu za pongezi kwa ushindi wa Man utd licha ya kutemwa kwenye mipango ya Jose Mouri

Leave a Comment